Saikolojia ni sayansi inayochunguza tabia na michakato ya kiakili ya wanadamu na wanyama. Inahusisha kuelewa jinsi watu wanavyofikiri, kuhisi, na kuishi katika mazingira yao. Saikolojia inachunguza mambo mbali mbali na kwa kutumia mambo hayo hutatua changamotozinazo wakabili wanaadamu.
Kwa kutumia Nyanja hizo muhimu, Saikolojia huweza kutoa suluhu za matatizo mbali mbali ya mwanaadama katika maeneo tofauti tofauti kana vile, Mahusiano (Mapenzi na Ndoa), Biashara Na hata kutatua changamoto mbali mbali za afya ya akili kama vile msongo wa mawazo (Stress), Kuponya maumivu ya moyo na mengineyo mengi.